
KAULI ZA BABA WA TAIFA ZINAZOMNYIMA USINGIZI LOWASSA
Hizi ni nukuu 6 za mwaka 1995, mwaka ambao Lowassa alikatwa na Mwalimu
Nyerere
• Mtu anayetaka kwenda Ikulu kwa
kutumia pesa ni wa kuogopa kama ukoma
•Ikulu ni mahali patakatifu. Ikulu sio pango la walanguzi
• Kama mtu anakwenda Ikulu kwa hela za marafiki zake,
atazilipaje akishakuwa Ikulu?
•Ikulu mimi napajua. Nimeshakaa miaka 23. Kwa mtu
mwadilifu, Ikulu ni mzigo. Si mahali pa kukimbilia hata kidogo.
•Bila CCM imara, nchi itayumba.
0 comments:
Post a Comment