Mauaji ya kutisha yametokea Wilaya ya Bagamoyo siku ya leo. Chanzo cha mauaji haya ni kuhusu talaka na mgawanyo wa mali.
Baada
ya kwenda BAKWATA kusuruhishwa Mwanamke (Mwenyendoa) alitaka mali zote
aandikiwe yeye na sio watoto
kama ilivyokuwa.Mwanaume ( Mwenyendoa)
alichomoa kisu alichokuwa amekificha kiunoni na kumchoma mkewe na yeye
kujichoma kisu cha tumboni na kujiwekea mchanga kwenye utumbo uliokuwa
umetoka nje ili asiweze kupona kabisa.
0 comments:
Post a Comment