Monday, August 24, 2015

1
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na wananchi baada ya kuwasili Ofsi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo.

2
Mbombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCMSamia Suluhu Hassan, akimtazama mtoto, alipokagua Kituo cha Afya cha Hedalu wilayani Same mkoani Kilimanjaro leo.
3
Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na mgobea Ubunge kwa tiketi ya CCM,  Same Magharibi, Anna Kilango Malechela, alipowasili kwenye mkutano wa hadhara wa kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Hedalu Same Mashariki mkoani Kilimanjaro leo.
4
Akivishwa Skavu wakati akilakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo.
(Picha zote na Bashir Nkoromo
5

0 comments:

Post a Comment