Monday, August 10, 2015

 
Rais Kikwete, mgombea Urais Dk. MAGUFULI, LOWASSA pamoja na Freeman Mbowe wanatarajia kukutana katika mazishi ya muasisi wa TANU na CCM marehemy Peter Kisumo.Lowassa ni mgombea Urais Chadema mbaye atapeperusha bendera kupitia umoja wa katiba ya wananchi UKAWA
akishindana na Magufuli aliyeteuliwa na vikao vya juu vya CCM kuwa mgombea wake wa Urais licha kuwepo manung’uniko kuwa uteuzi wake haukufuata utaratibu.  

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

0 comments:

Post a Comment