Friday, August 7, 2015


Ajali iliyotokea wilaya ya Bagamoyo, Pwani
Gari la aina ya Fuso T 945 BHZ lilioloanguka maeneo ya makutano ya barabara ya Kiwangwa na Bagamoyo baada ya kufeli kukata kona likiwa limebeba kreti za bia.

0 comments:

Post a Comment