Monday, August 10, 2015


Mh. Davis Mosha akitete jambo na Hendrew Mpiganaji ngumi za kulipwa wa zamani nje ya ofisi za CCM Wilaya ya Moshi mjini
Davis Mosha akiwa na wananchi wa wilaya ya Moshi Mjini
Davis Mosha akiwa na Kamanda wa Vijana Wilaya ya Moshi Mjini na Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM ndugu Agrey Marealle, Nje ya Ofisi ya CCM Wilaya ya Moshi

Mh. Davis Mosha akiwa na wanachama wa ccm baada ya majumuisho ya matokeo ya awali kutoka kwa mawakala wa vituo kuonesha ameshinda kwa kishindo.



Waendesha pikipiki wakifurahia ushindi wa Mh. Davis Mosha
Mh. Davis mosha akizungumza na wanachama waliokuja nje ya nyumba yake kumpongeza.


Mh. Davis mosha hakusita kuonesha furaha yake kwa wapiga kura wake

Marafiki na wafanyaiashara Hawakua nyuma kuhakikisha Jimbo linakombolewa.


Furaha inapozidi unashindwa kuzungumza na kubaki na zawadi ya Tabasamu.
"Nawashukuru sana tuendelee na umoja wetuu"
Mh. Davis Mosha akiingia katika Tafrija ya Fmilia ya Mama Anna Mkapa aliyoalikwa kwa heshima. Pembeni ni William Malecela (Le Mutuz)
Mh. Rais Mstaafu ndugu Benjamin Wiliam Mkapa akimpa mkono wa Pongezi Mh. Davis Mosha
"Hongera sana"
Mama Anna Mkapa akimpongeza Mh. Devis Mosha
Mh. Davis Mosha akiingia katika ofisi ya ccm wilaya ya Moshi Mjni
Mh. Davis Mosha akikumbatiwa na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya ccm Bi. elizabeth Minde



Kamanda wa vijana ccm wilaya ya Moshi Mjini Mh. Agrey Marealle akiingia katika ofisi za ccm Wilaya ya Moshi mjini


Wanachama wa ccm wakiwa nje ya ofisi ya cm wilaya ya Moshi mjini
Wagombea wakiwa katika kikao cha majumuisho ya matokeo

Wanachama na wanahabari wakisubiri matokeo kwa hamu

Matokeo ya kura za maoni yakisomwa nje ya ofisi ya ccm



Wanachama wa ccm wakishangilia baada ya matokeo kutangazwa


Mmoja wa wagombea ndugu Priscus tarimo akimpongeza Davis Mosha baada ya kutangazwa kwa matokeo.


Haya ndiyo matokeo rasmi ya kura za maoni



Wanachama wakishangilia huku wakitembea na Mh. Davis Mosha

Mh. Davis Mosha akiwa katika Maandamano na wanachama wa ccm

Furaha inapozidi hata chini nitalala

Kilometa zaidi ya sitini bila kuchoka

Kila alipopita hakuchoka kusimama na kushukuru wanachama waliomchagua


Mh. Davis Mosha akizungumza na wanachama wa kata ya njoro
Furaha imepitilizaa

Mh. Davis Mosha akiongea na wanachama wa ccm baada ya kutembea zaidi ya kilometa 60 na kumalizia kata ya kiboriloni.

0 comments:

Post a Comment