Mwenyekiti
wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya
kauli zinazotolewa na Umoja wa Vyama vya Upinzani (Ukawa), zinaashiria
uvunjifu wa amani pindi matokeo ya kura yatakapoanishwa baada ya zoezi
la upigaji kura Oktoba 25 mwaka huu.
Rais Kikwete alisema baadhi ya
kauli hizo zimekuwa zikionyesha wazi viashiria vya uvunjifu wa amani na
upotoshaji kwa kundi kubwa la vijana ambao wanapiga kura kwa mara ya
kwanza.

0 comments:
Post a Comment