Monday, August 3, 2015

BILIONEA DAVID MOSHA AIBUKA KIDEDEA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOSHI MJINI! 10 6 99
Super Mogul Billionea Davis Mosha kati kati, baada ya kutangazwa mshindi wa Kura za maoni Moshi Mjini juzi, Davis alishinda kwa kura 5,271 75% ya kura zote huku anayemfuatia Boi Safi akipata kura 700 na Buni akipata kura 400.

0 comments:

Post a Comment