Mnamo
Tarehe 14.08.2015 Mgombea Urais Kwa Tiketi Ya Chadema Alikuja Mkoa Wa
Mbeya Akiwa Ameandamana Na Viongozi Wa Vyama Vya Cuf, Nccr – Mageuzi Na
Nld Kwa Dhumuni La Kumtambulisha Na Kuomba Udhamini Wa Kupeperusha
Bendera Ya Chadema Kwa Nafasi Ya Urais.
Katika Msafara Wake Kutoka
Uwanja Wa Ndege [songwe] Kulionekana Gari Moja (pichani) Aina Ya Land
Cruiser – Pick Up Yenye Rangi Nyeusi Na Ndani Yake Lilikuwa Limebeba
Vijana Ambao Walikuwa Wamevaa Mavazi Meusi, Kofia – Bereti Nyeusi Na
Miwani Nyeusi Na Mabuti.
0 comments:
Post a Comment