
Wem
Sepetu ‘Madam’ akidendeka na mwanaume mwenye asili ya Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wakiwa kwenye Mgahawa wa hoteli iliyopo
Msasani jijini Dar.Licha
ya kudai kwamba skendo za ngono sasa basi, staa wa sinema za Kibongo,
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amekwaa aibu mpya baada ya picha zake kunaswa
akiwa
na mwanaume mwingine kwa mara nyingine, mwenye asili ya Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wakiwa kwenye Mgahawa wa hoteli iliyotajwa
kwa jina la Cape-town Fish Market iliyopo Msasani jijini Dar.
0 comments:
Post a Comment