Posted by Williammalecela.com on Thursday, September 10, 2015
 |
| "Kuna tofauti kubwa sana kati ya hawa Wasanii wa Bongo Fleva, mmoja
anaitwa Roma Mkatoliki alishaacha Muziki kwa kushindwa kabisa kuvutia
Vijana mashabiiki wa Bongo Fleva, lakini Prof. Jay ni Msanii mkubwa
anayejitambua na mwenye soko kubwa la Wananchi wote wa Tanzania ndio
maana pamoja na kujiunga mapema na UKAWA hajawahi kuimba wimbo kama
mwenzake looser, au Oil Chafu ya Bongo Fleva!" - Super Star Raper Bingo |
0 comments:
Post a Comment