Wednesday, September 30, 2015

Taarifa za Uzushi Kuhusu Waziri Sophia Simba kujiunga Chadema ni Uwongo.Taarifa za Uhakika zinasema Mh Sophia Simba Alikuwa kikazi Nchi Marekani kwenye Msafara wa Rais Kikwete na anatajariwa Kujerea Nchini Leo.

0 comments:

Post a Comment