Monday, September 14, 2015

 
Jamaa maarufu kwa jina la Hassan Baunsa Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha HATARI! Jamaa maarufu kwa jina la Hassan Baunsa ambaye ni
baunsa wa mwanamuziki wa Taarab Bongo, Mzee Yusuf ‘Mfalme’, amenusurika baada ya kupigwa risasi na shabiki aliyefahamika kwa jina mmoja la Kev, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili. 

0 comments:

Post a Comment