Monday, September 14, 2015

Asante sana dada zangu kwa maongezi na mawazo mazuri. Wakina mama wa Wilaya ya Kinondoni muda wenu wa kujikomboa kiuchumi umefika nawaomba tu wakati nitakapo waita naomba muitikie wito bila kuchelewa. Maendeleo yetu ndiyo Tanzanian yetu.

0 comments:

Post a Comment