MSANII wa Bongo Movie anayetambulika kwa jina la Aunty Ezekiel amewajia juu mashabiki wake wanaomuongelea vibaya mtoto aliyezaa na mnenguaji wa Diamond Platnumz, Mozee Iyobo.
“Kuweka uso wa mwanangu mtandaoni ni hiari yangu, msilazimishe, mwanangu ni mweusi sana au ana chongo siwezi kumuanika hadharani, mimi ndiye najua utamu na uchungu wake, ningetaka kuzaa mtoto mweupe ningezaa na mzungu,’’ aliandika Aunty Ezekiel.
Mtanzan
0 comments:
Post a Comment