Posted by Williammalecela.com on Friday, September 25, 2015
Mama wa msanii marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ akilia.
Wasanii
mbalimbali wa filamu waliomo kwenye Kampeni za CCM kupitia mpango wa
Mama Ongea na Mwanao akiwemo Wema Sepetu, juzikati walimliza mama wa
msanii marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ pale walipokwenda
kutembelea kaburi lake.
0 comments:
Post a Comment