Wednesday, September 30, 2015





3 comments:

  1. Nishaanza kuichukia hii Blog maana inakwenda nje ya malengo yake imejikita zaidi kichama c bora ukaibadilisha jina baada ya wananchi blog badilisha iwe wanaccm blog hapo tutakuelewa!

    ReplyDelete
  2. Hawa UKAWA wataibika vibaya sana! Sasa hii ni nini?? Wanawalipa watu pesa nyingi ili kusambaza uongo..haya yetu macho. Na wawe tayari kwa mweleka mkuu

    ReplyDelete
  3. U-CCM upo wapi tena ndugu yangu! Au kuandika kuwajulisha watu ukweli ndiyo shida? Au lengo lako ni kutufahamisha ya kuwa ndani ya CCM kuna ukweli na ule upande wa pili kuna UONGO?

    Hii blog ipo vizuri tema sana, pole kwa kuwa umejisikia vibaya kuumbuliwa kwa propaganda za UKAWA.

    ReplyDelete