Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere Marando,amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam, huku hali yake ikielezwa kuwa tete baada ya kuugua ghafla juzi nyumbani kwake.Marando ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema, amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete hospitalini hapo kwa ajili ya kupata matibabu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment