Thursday, September 10, 2015

Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Mh. Shasha akimnadi Mgombea Ubunge wa CCM Njombe Mjini, ambapo pia kwenye ziara hiyo ya kutafuta kura za CCM na Magufuli, Vijana 8 wa Red Brigade ya Chadema walirudisha kadi zao na kujiunga na CCM.







0 comments:

Post a Comment