Friday, October 16, 2015

Maltida Quaye 
Si mwingine ni mrembo Maltida Quaye kutoka Ghana anajulikana kwa jina la Hipys ambaye ni mrembo wa kwanza kuwa na hipys kubwa kuliko wote hapa Afrika ameshare picha zaje kwenye

mitandao ya kijamii ambao imemfanya kujizolea umaarufu na kutengeneza jina kwenye media mbali mbali Afrika

0 comments:

Post a Comment