Monday, October 19, 2015

Kijiji kipya cha kisasa kinajengwa na Shirika la Nyumba Tanzania National Housing Corporation sasa hivi eneo la Morocco kwa kushirikiana na Serikali ya Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete, kinategemea kumalizika hivi karibuni sana.





0 comments:

Post a Comment