Wednesday, October 14, 2015


MAREHEMU Dk Abdalala Kigoda enzi za uhai wake(Pichani) Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi, kutakuwa na kuuaga mwili huo kwa wananchi na Viongozi Karimjee Hall siku itakayosemwa kabla ya kwenda kuzikwa nyumbani kwao Tanga.

0 comments:

Post a Comment