Thursday, October 29, 2015

Mgombea ubunge Jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CUF, Kondo Bungo 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imefuta Uchaguzi wa ngazi ya Ubunge jimbo la Mbagala, Dar es Salaam.
Taarifa zaidi juu ya sababu za kufutwa kwa Uchaguzi huo zitafuata hapo baadaye.

0 comments:

Post a Comment