Saturday, October 10, 2015

 
Rose akipewa zawadi ya keki na Harmonizer kwa niaba ya Wasafi Classic Baby.
Stori: Brighton Masalu na Musa Mateja
KUPITIA baadhi ya vijana walio chini ya kundi lake la Wasafi Classic Baby (WCB), ‘kichaa’ wa Bongo

fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amepelekea zawadi ya keki, staa wa filamu za Kibongo, Rose Donatus Ndauka alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.  

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

0 comments:

Post a Comment