Saturday, October 24, 2015


.  Watu sita  wamejeruhuiwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miili yao Wilayani Tarime mkoani Mara akiwemo mwandishi wa habari wa Sahara Media, Geoge Nteminyanda (49) usiku wa kuamkia leo.
Wakizungumza na mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi katika wodi namba tatu na namba nane walikolazwa, majeruhi hao wamesema kuwa walishambuliwa na wafuasi wa vyama vya Chadema na CCM ambao walikuwa katika makundi makundi kati ya saa mbili na saa nne usiku.  

0 comments:

Post a Comment