Monday, October 12, 2015





MADAM NA GAUNI LA BEI MBAYA
Lingine lililozua gumzo ukumbini, ni Madam Ritha kuvaa gauni ambalo lilikadiriwa kuuzwa dukani kwa shilingi laki tano.


Ijumaa Wikienda lililazimika kumfuata Madam kwa lengo la kujua bei ambapo alisema alilitungua dukani kwa shilingi milioni moja na laki nane (1,800,000).

0 comments:

Post a Comment