Saturday, October 24, 2015

kijana  Bruno  kims  akiwa  na  Lowassa  nyumbani  kwake  monduli  kabla  ya hajakamatwa  na  polisi 
Hii  ndio  post  ambayo  imesababisaha  kijana  huyu  awekwe  SEREGEREA MPAKA  MUDA HUU

Huyu  kijana  anajulikana   kama Bruno Kims alikamatwa  na  vyombo  vya  usalamaa   baada  ya  kuandika  post  ya  kupongeza   majambazi  waliovavamia  kituoa  cha  STAKI  SHARI,Kwahiyo  mpaka  muda  huu  yupo  regerea!!!!

Kwahiyo  ataweza  kupiga  kura  hapo  kesho licha  alikuwa  ni  mfuasi  mkubwa  wa  Lowassa 


vyombo  vya  habari  pia  viliandika  tukio  hili

0 comments:

Post a Comment