Posted by Williammalecela.com on Friday, October 16, 2015
 |
| Na Mwandishi Wetu:- Kamanda mpya wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, amabye kuja kwake Mbeya kuliambatana na shinikizo la kusimamia kuibuka upya kwa wimbi la uhalifu wa kutumia silaha
aina ya nondo. Miezi Tisa tu toka aje hapa Mbeya Matunda ya ujasiri na busara za kazi yake zimeshaanza kuonekana hasa kupungua kwa uhalifu huo. Wananchi wengi wa Mkoa wa Mbeya wameupokea ujio wake kama jawabu la uhalifu sugu ambao umekuwa unalisumbua sana Jiji na Mkoa wa Mbeya. |
0 comments:
Post a Comment