Monday, October 26, 2015


1.kaulia  ya  kwanza  kutoka  kwa  Joshua   Nassari  Kupitia  facebook,
Kata ya Malula Arumeru. Tumeshashinda kwa ngazi ya udiwani. Ubunge na Urais pia tumeongoza
2."kauli  ya pili kutoka  kwa  Mhe  Joshua  Nassari "
.Nipo huru, sijashikiliwa na polisi. Nilikwenda polisi kuwapeleka waalifu 3 waliowekwa chini ya ulinzi na wananchi wa kata ya seela sing'isi walipojaribu ku-rig uchaguzi. Walikutwa na mapanga mapya 3, faru moja na bastola moja ikiwa na magazine moja yenye risasi 9. Nimewaacha polisi Usa River sasa. Nao ni Bariki Ayo(mdogo wake ma mgombea wa ccm) Paul Mafie na mwingine mmoja.
TUNAONGOZA KWA KURA NYINGI ZA KISHINDO.

0 comments:

Post a Comment