Wednesday, October 28, 2015


Wakati Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ikisubiriwa kutangaza matokeo ya urais mapema asubuhi hii, sintofahamu imewagubika wananchi visiwani humo hasa baada ya mgombea urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif kujitangazia ushindi.  

0 comments:

Post a Comment