Posted by Williammalecela.com on Wednesday, October 28, 2015
Wakati
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ikisubiriwa kutangaza matokeo ya
urais mapema asubuhi hii, sintofahamu imewagubika wananchi visiwani humo
hasa baada ya mgombea urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif
kujitangazia ushindi.
0 comments:
Post a Comment