Wednesday, October 7, 2015

ITV Tanzania

Shirika la umeme Tanzania -Tanesco limesema hali ni mbaya ya upatikanaji wa umeme nchini kutokana na chanzo kikuu ambacho ni maji kuzalisha nishati hiyo asilimia 18 tu ya uwezo wake na kwamba hali hiyo imewafanya washindwe kuita kukosekana huko umeme nchini kama ni mgawo au dharura.

0 comments:

Post a Comment