"Kuna
mwandishi mmoja wa ITV leo wakati anatangaza matokeo akalitaja jimbo
moja la huko Geita na akasema jimbo hilo 'tumepoteza' akimaanisha
Chadema wamepoteza. Nikitazama na fulana ya mtangazaji pichani na gwanda
wanazovaa...sishangai habari wanazoripoti. Ila anguko la Chadema ni
anguko la ITV. Wataanguka. Wataumbuka."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment