Sunday, October 25, 2015

UTABIRI :- HAHAHAHAHAHA kama vepe hivi ndivyo itakavyokuwa baada ya uchaguzi kuisha kwenda kuapishwa tu kwa Dr. Magufuli.

Kirumba Stadium jana Mwanza Dr. Magufuli alipofunga kampeni zake inasemekana haijawahi kutokea Africa nnzima mkusanyiko kama huu kwa ajili ya mgombea urais yoyote Africa, haijawahi kutokea tena.

0 comments:

Post a Comment