Friday, October 23, 2015

Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’
Baada ya kuenea kwa madai kuwa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amepangishiwa bonge la mjengo na kigogo mmoja (jina kapuni), mumewe Faraji Agustino anadaiwa kulizwa na vitendo vya mkewe huyo vinavyomuumiza akiwa jela. 

0 comments:

Post a Comment