Posted by Williammalecela.com on Friday, October 23, 2015
Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’
Baada
ya kuenea kwa madai kuwa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja
‘Kay’ amepangishiwa bonge la mjengo na kigogo mmoja (jina kapuni),
mumewe Faraji Agustino anadaiwa kulizwa na vitendo vya mkewe huyo
vinavyomuumiza akiwa jela.
0 comments:
Post a Comment