Kabla
sijawaeleza kilichonilazimisha kuwaomba kuongea nanyinyi, kwanza
niwarudishe nyuma kama miaka saba iliyopita, ndipo maisha ya Baba,
Mchungaji, Mwenyekiti na mume wangu, Mchungaji Christopher Reuben
Mtikila yalipoanzwa kuwindwa:-
MAUWAJI YA MHESHIMIWA CHACHA ZAKAYO WANGWE
Mara
tu baada ya kifo cha mbunge huyo, mchungaji Mtikila alitoa ripoti
maalumu juu ya mauaji yake ambayo ilimjengea uadui kati ya baadhi ya
vyama vya siasa pamoja na wafanyabiashara wakubwa ambao hadi leo ni
wapinzani wa serikali hapa nchini.--Mchungaji Mtikila hadi anafikwa na
mauti aliendelea kupata upinzani wa aina hiyo hiyo kwa sababu mchungaji
Mtikila aliendelea kudai haki ya marehemu Chacha Zakayo Wangwe.
0 comments:
Post a Comment