![]() |
| Hizi ndio siasa za UKAWA uongo na uzushi all the times, hapa ni Kiborloloni Moshi Mjini nyumbani kwa Mgombea ubunge wa CCM Super Mogul Davis Mosha, na hii picha ilikuwa ni Mwaka 2012 tulikuwa tumeenda kwenye ubatizo wa mtoto wake ni nyumba ambayo ameijenga miaka mingi iliyopita ikiwa ni pamoja na kujenga kanisa kubwa hapo hapo Kiborloloni. Now mtu msomi kama Malisa anapokuja kupotosha ukweli inashangaza sana na hizi siasa za kitoto, UKAWA hamuwezi kushinda kwa mbinu za kitoto kama hizi mtashindwa tu cause hizi sio siasa ila ni ujinga usio na mfano! - le Mutuz Nation |
Monday, October 12, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment