Friday, October 16, 2015

Tweet ya mwisho ya Waziri wa Utalii Lazaro Nyalandu, jana mara baada ya kusikia habari za kuanguka kwa Chopa aliyokuwa akiitumia Mbunge wa CCM Ludewa Mh. Deo Filikunjombe ambaye imefahamika usiku wa jana kwamba yeye na wote waliokuwemo kwenye hiyo chopa walipona.


0 comments:

Post a Comment