Monday, October 26, 2015


Subira Mgalu
Subira Mgalu:-  "hongera shosti wangu mpaka sasa majimbo 8 kati ya tisa tushachukua ! ni jimbo la rufiji tu ambako wanamalizia kuhesabu kwa urais Dr Magufuli kamuacha mbali sana Mzee wa Monduli ! Wameisoma namba Pwani"
Ummy Mwalimu
Ummy Mwalimu:-  "Wera wera Mkoa wa Pwani Subira Mgalu"

0 comments:

Post a Comment