Saturday, November 28, 2015


‪#‎DUKALASIMU‬
Mmiliki wa duka la simu la ‪#‎Sapna‬ amekamatwa kwa makosa ya kukwepa kodi tangu muda mrefu. Mmiliki huyo pamoja na gari lake wameburutwa mpaka polisi na kufunguliwa kesi ya kuhujumu ‪#‎uchumi‬.
Hawa wafanya biashara ndio ambao walikuwa wana msupport ‪#‎Lowassa‬ ili hawe rais kwa sababu walijua nini wanafanya. Mh Rais ‪#‎JPM‬ muda umefika sasa kwa wafanya biashara wote kutumia mashine za ‪#‎TRA‬ ili kutoa listi za malipo kwa wanunuaji.
Wakwepaji kama hawa ndio walikuwa wanawasababishia shida ‪#‎mamantilie‬ na ‪#‎bodaboda‬ kulipa kodi kubwa. Wakwepaji kama hawa wametunyanyasa sana mjini na magari yao.
Muda umefika wa kuwafilisi mali zao zote wale wakwepaji wa kodi.
‪#‎SASANIKAZITU‬

0 comments:

Post a Comment