Saturday, November 28, 2015





#‎BREAKINGNEWSSSS‬
Makontena 54 yalikwenda kwa Bakhresa bila kulipia kodi na tayari tangu jana Azam ICD General Manger kalaliwa yupo lupango
Hasara toka kwa Azam ICD kwenda kwa serikali ni kiasi cha shilingi bilioni 12. Mtoto wa Bakhresa alitaka kwenda kulipia lakini kaambiwa abakie na pesa zake na ‪#‎TRA‬ wanapiga mahesabu ya adhabu ya kukaa na pesa ya serikali.
#‎HABARINYINGINE‬
Bosi wa "home shopping centre"
Kadakwa wakati akitaka kutoroka katika mpaka wa namanga alikuwa analala mbele ametulizwa kaambiwa tunahitaji passport yako.

0 comments:

Post a Comment