Monday, November 16, 2015

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jerome Bwanausi,
atangazwa mshindi katika Jimbo la Lulindi mkoani Mtwara kwa kupata kura 17,715 baada ya kufanyika kwa marudio ya uchaguzi uliofanyika jana.
Ushindi wa Jerome umetangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

0 comments:

Post a Comment