Posted by Williammalecela.com on Tuesday, November 24, 2015
“Kuanzia
sasa watumishi wote wa umma watatakiwa kuonyesha majina yao kwa
wananchi wanaotoa huduma ili kuongeza uwazi na uwajibikaji. Hili
nitaanza na mimi mwenyewe,” - Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Balozi Sefue
0 comments:
Post a Comment