Friday, November 6, 2015

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea toka Ikulu hadi katika wizara ya fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi mbali mbali ofisi kwa ofisi na kukuta Maofisa wengi wa serikali hawapo kazini.

0 comments:

Post a Comment