Posted by Williammalecela.com on Sunday, November 01, 2015
Watu
sita wamefariki dunia baada ya gari ndogo waliokuwa wakisafiria
kugongana uso kwa uso na basi la abiria mali ya kampuni ya Princess
Muro, lililokuwa likitokea Dar es salaam kuelekea Tunduma, katika eneo
la hifadhi ya taifa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa.
0 comments:
Post a Comment