Sunday, November 8, 2015


Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo Bisimba amepata ajali ya gari katika barabara ya Ali Hassani Mwinyi jijini Dar es Salaam leo na kukimbizwa hospitali endelea kutufatilia kwa taarifa zaidi.
unnamed (8)

0 comments:

Post a Comment