LEMUTUZ

Wednesday, November 18, 2015

EURO 2016-DROO YA FAINALI: MGAO WA TIMU KWENYE VYUNGU WAKAMILIKA!

Posted by Williammalecela.com on Wednesday, November 18, 2015
1euro2016_0 (1)

Baada ya Jana kukamilika kwa idadi ya Timu 24 za Fainali za Mataifa ya Ulaya, EURO 2016, baada ya Mechi za Mchujo za Marudiano, UEFA imethibitisha mgawanyo wa Timu kwenye Vyungu kwa ajili ya Droo ya kupanga Makundi na Ratiba.
Droo hii itafanyika Desemba 12.
Droo hiyo itakuwa na Timu 24 ambazo zimegawanywa katika Vyungu Vinne vyenye Timu 6 kila kimoja kulingana na Nafasi zao za kwenye Listi ya Ubora.
Fainali za EURO 2016 zitachezwa Mwakani kuanzia Juni huko France.
DROO-Mgawanyo wa Vyungu:
**Kila Chungu kitatoa Timu 1 kuingizwa kwenye moja ya Makundi 6 [A hadi F]
**France, kama Wenyeji, wao wapo Kundi A
CHUNGU A
France, Germany, Spain, Portugal, Belgium, England
CHUNGU B
Italy, Austria, Switzerland, Russia, Croatia, Ukraine
CHUNGU C
Czech Republic, Sweden, Poland, Romania, Slovakia, Hungary
CHUNGU D
Turkey, Republic of Ireland, Iceland, Wales, Albania, Northern Ireland
+++++++++++++++++++++++
TIMU ZILIVYOFUZU:
-France [Wenyeji]
-KUNDI A: Iceland, Czech Republic, Turkey
-KUNDI B: Belgium, Wales
-KUNDI C: Spain, Slovakia
-KUNDI D: Germany, Poland
-KUNDI E: England, Switzerland
-KUNDI F: Northern Ireland, Romania
-KUNDI G: Austria, Russia
-KUNDI H: Italy, Croatia
-KUNDI I: Portugal, Albania
-Mechi za Mchujo: Hungary, Ireland, Ukraine, Sweden

Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT