Thursday, November 19, 2015


Baadhi ya Maafisa wa Bunge wakiwa tayari kwa Zoezi la kupiga kura, wabunge kumthibitisha Waziri Mkuu aliyependekezwa na Rais Dk. John Magufuli, Mhe. Kassim Majaliwa, linaloendelea hivi sasa Bungeni Mjini Dodoma.

Zoezi la kupiga kura likiendelea kwa Wabunge Mjini Dodoma.


0 comments:

Post a Comment