Posted by Williammalecela.com on Saturday, November 21, 2015
Wazee wa kimila wa makabila ya Wakurya na Waluo wamesema watu watano
waliookolewa kutoka kwenye machimbo ya Nyangalata, Kahama ambao
waliwekewa matanga kabla ya kuibuka wanatakiwa kufanyiwa mambo ya
kimila, vinginevyo watakufa kiajabu.
0 comments:
Post a Comment