Wednesday, November 25, 2015


Mkuu Mpya wa mkoa Kilimanjaro Mh. Amos Makalla, leo ametembelea kituo cha kufua Umeme nyumba ya Mungu na ujenzi mradi mkubwa wa Maji same-Mwanga-Korogwe. Ameagiza Tanesco kuhakikisha wanaendelea kuzalisha Umeme kwa kiwango wslichopangiwa na kuingiza gridi ya taifa. Amewataka wananchi kutofanya shughuli za uvuvi eneo la hifadhi la Tanesco. Kuhusu mradi wa Maji utakaonufaisha Vijiji 38 wilaya ya Mwanga 17, same 16 na korogwe 5 ukamilike ndani ya miezi 31 kama ulivyokubaliwa katika mkataba.








0 comments:

Post a Comment