Saturday, November 28, 2015

12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n
“Congratulations to Tanzanian businessman and philanthropist extraordinaire, Muhammed Dewji on being named Forbes Africa’s Person Of The Year 2015. ‪#‎FAPOY2015‬,” wameandika Forbes


Akipokea tuzo hiyo Dewji alidai kuitoa kwa vijana wa Tanzania.


12311229_1063019103729540_1978545552083464653_n


Ushindi huo unakuja baada ya hivi karibuni Forbes kutoa orodha ya watu 50 matajiri barani Afrika.

Dewji alikamata nafasi ya 21 kwenye orodha hiyo akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.1. Dewji anaendelea kuwa tajiri namba moja nchini Tanzania.

Rostam Aziz alikamata nafasi ya 25 kwa utajiri wa dola milioni 900 huku Said Salim Bakhresa akikamata nafasi ya 36 kwa kuwa na utajiri wa dola milioni 600.














0 comments:

Post a Comment